Je! unatafuta eneo sahihi kwa ajili ya kufanya biashara ya Mgahawa, ndio pengine hujui wapi panaweza kuwa eneo sahihi zaidi, acha nikufahamishe yakuwa Makumbusho ya mkoa Iringa Boma inakutangazia kuwa inapangisha eneo lake la mgahawa kwa Muwekezaji aliye tayari.
Kuna kila sababu za kuwekeza katika eneo hili .
1.Eneo lipo katikati ya mji wa Iringa (Iringa Boma ) ilipokuwa ofisi ya mkuu wa Wilaya.
2. Nisehemu nzuri yenye muingiliano wa wageni kutoka nchi mbalimbali kutokana uwepo wa Makumbusho ya Mkoa.
3. Ulinzi na usalama ni wa hali ya juu.
Unasubiri nini sasa kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia
+255 753 975 333
+255 762 424 642




Akizungumza na wananchi Mkuu wa wilaya wa Iringa amabaye alikuwa mgeni rasmi wa uzinduzi wa wiki ya sabasaba anasema watu wengi wanasahau asili yao kutokana na mabadiliko ya kiutandawazi hivyo amepongeza juhudi zinazofanywa na mradi wa fahari yetu Tanzania katika kuendeleza na kuenzi utamaduni kwakudhamini mashindano hayo.





