fahari yetu inaandaa na kushiriki katika matamasha ya mara moja na ya mara kwa mara ya utamaduni ikiwa ni pamoja na matamasha yafuatayo:

  • Maonesho ya kimataifa ya Utalii
  • Tamasha la Mkwawa Iringa 2014
  • Mashindano ya mwaka ya Wilaya na Mkoa ya  utamaduni

Dec

05

Ufunguzi wa maonesho mapya ya “Mabadiliko ya Binadamu”

05. Dec 2020

Maonesho yaliyosubiriwa kwa hamu pamoja na mambo mengi zaidi...