Wakati kaitka picha ni Mkurugenzi wa makumbusho ya Taifa Dr. Noel Lwoga alipata nafasi ya kutembelea Makumbusho ya Mkoa Iringa Boma wakatiakipita Iringa kuelekea Dodoma. Uhifadhi wa malikale kama sehemu ya makumbusho na kituo cha utamaduni na  Masimulizi / historia za wenyeji na Machifu kwa wageni hata wazawa wa Mkoa wa Iringa ni moja ya Juhudi alizo ziunga Mkono wakati wa matembezi.

Pia amepongeza juhudi zinazofanywa na mradi wa fahari yetu Tanzania katika kukuza na kuendeleza utamaduni nyanda zajuu kusini na Tanzania.