Makumbusho ya Mkoa Iringa Boma na Mradi wa fahari yetu Tanzania kwa kushirikiana na Chuo kikuu cha Iringa tumepata nafasi ya kushiriki maonesho ya vyuo vikuu Tanzania yanayo fanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es salaam. Tupo kwenye banda la Chuo Kikuu Iringa karibu upate kuifahamu historia ya Mkoa wa Iringa kwa ufupi.