Makumbusho ya Mkoa Iringa Boma imepata nafasi ya kushiriki kwenye uandaaji wa Makala ya redio ya Shirika la Utangazaji la Ujerumani kuhusu kumbukumbu ya Historia ya kikoloni nchini Tanzania kwa kuangazia namna gani wananchi wanaikumbuka na jitihada za taasisi hususan Makumbusho wanavyoitunza Historia hiyo.

Kulia ni Bwana, Jochen Rack kutoka Shirika la Utangazaji Ujerumani (Bavaria Broadcast Corporation)