Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Dk. Donald Wright na familia yake na watumishi wengine wa serikali walitembelea makumbusho ya Mkoa Iringa Boma ilikujifunza historia ya Nchi Tanzania na uhehe tangu kabla na mada ya uhuru.

Mbali na kutembelea Makumbusho ya Mkoa ya mkoa mhe. Balozi alipata kujionea kazi mbalimbali zinazofanywa na mradi wa fahari ytu Tanzania ikiwa ni shemu ya kutangaza utalii wa Tanzania,

Iringa boma imekuwaikipokea wageni mbalimbali wakitaifa na kimataifa wanaokuja kujifunza tamaduni mbalimbali na kupata historia za nchi yetu ilikuendelea kuweka mahusiano mazuri kati ya nchi na nazao.

Karibuni sana makumbusho ya Mkoa Iringa Boma kituo cha Utamaduni.