.

Mradi wa fahari yetu Tanzania na Makumbusho ya Mkoa Iringa Boma tulitembelewa na mgeni kutoka ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania. Tumefurahia ujio wako kwenye makumbusho ya Mkoa Iringa Boma tunaamini ni mengi umejifunza siku ya leo kupitia makumbusho hii.