Maafsa wa Makumbusho ya Mkoa Iringa Boma leo tume pata fursa ya kushiriki Washa ya kujijengea uwezo kuhusu mbinu za kufundisha chini ya mama yetu Dk.Kasumba kwa ajili ya programu ya kutembelea shule mbalimbali. Kaa tayari Makumbusho imekuandalia elimu toshelezi kwa ajili yako.