Wapendwa watu wa ndani na nje ya Iringa,

usikose programu maalum ya siku 3 ya kuadhimisha Siku ya Makumbusho Duniani hapo Iringa Boma! Uje pamoja na familia, ndugu, jamaa na marafiki kufurahia starehe nono…

Gharama zake:

Ijumaa, 18 Mei (sherehe rasmi): hakuna kiingilio

Jumamosi, 19 Mei na Jumapili, 20 Mei (burudani mbalimbali):

Wakubwa Tsh 2,000

Watoto Tsh 1,000

Kutembelea mji wa Iringa (guided history tour): Tsh 20,000

Karibuni sana…